Pages

Monday, 15 September 2014

MTOTO WA MIAKA 4 ABAKWA NA KUSABABISHIW KIFO



WATU wawili mbaroni  mmoja kwa kumbaka mtoto wa miaka 4 na kumsababishia kifo, mwingine ni kwa tuhuma za kushawishi mtuhumiwa amalizane kinyemela na mzazi wa mtoto huyo.


Tukio hilo lilitokea Septemba 7 mwaka huu huko wilaya ya Morogoro ambapo kwa sasa watuhumiwa hao wanashikiliwa na polisi ..

Mtoto huyo alifariki dunia Septemba 13 kutokana na majereha aliopata,

 Habari zaidi tutawaletea hivi punde.

 

No comments:

Post a Comment