Pages

Subscribe:

Friday 11 July 2014

MAMA ATIWA MBARONI KWA KUMFICHA MTOTO WAKE WA MIAKA 5 KILOSA MOROGORO

Polisi mkoani Morogoro inamshikilia mama mmoja   Sara Mazengo kwa tuhuma za kumficha ndani mtoto wake  wa miaka (5) Devita Malole.

 Mama huyo alikamatwa jana katika kijiji cha Matongola Dumila wilayani  Kilosa baada ya viongozi wa kijiji hicho kupata taarifa kuwa kuna mtoto anafichwa na mama huyo.
 hata hivyo mtoto huyo kwa sasa amelazwa katika hospitali ya wilaya ya Kilosa kwa uchunguzi wa afya huku mama huyo akiwa mbaroni.

Habari zaidi na picha zitawajia badae .


0 comments:

Post a Comment