Pages

Subscribe:

Monday 17 March 2014

BREAKING NEWS:BUNGE MAALUM LA KATIBA LAAHIRISHWA KUTOKANA NA VURUGU

 
Mwenyekiti wa Bunge Mh Samwel Sitta Amelazimika Kuhairisha Bunge Jioni Hiii mara baada ya Kutokea Vurugu.Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katika Jaji Joseph Sinde Warioba Alitakiwa kuwasilisha Rasimu ya Pili katika Bunge Hilo.Wajumbe wa Bunge Walipoingia Ukumbini Ndipo Mwenyekiti wa Bunge Mh Samwel Sitta Alipomwita Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Mh Jaji Warioba ,
BOFYA HAPA KUISOMA ZAIDI

0 comments:

Post a Comment