Pages

Subscribe:

Friday 24 January 2014

Mawasiliano Dodoma na Morogoro yarejea baada ya daraja la Dumila kukamilika




 Waziri wa ujenzi John Magufuli akiruhusu  Lori la kwanza kupita katika daraja la Dumila wilayani Kilosa  baada ya mainjinia wa wizara hiyo kukesha  usiku kucha kutengeneza daraja hilo.

 Waziri Magufuli bakitoa maagizo katika daraja hilo.
 Magufuli akihimiza kukamilika kwa kazi ya daraja hilo ili magari yaweze kupita.

0 comments:

Post a Comment